Proverbs 3:13-15


13 aHeri mtu yule aonaye hekima,
mtu yule apataye ufahamu,
14 bkwa maana hekima ana faida kuliko fedha
na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
15 cHekima ana thamani kuliko marijani;
hakuna chochote unachokitamani
kinachoweza kulinganishwa naye.
Copyright information for SwhNEN